Monday, 13 June 2011

DATE A GIRL THAT IS TALLER THAN YOU

Posted by Kitalima Gerald On 00:27
Date a Girl That Is Taller Than You
Society's old ways of thinking, including those ideas that tell us that a male should always be taller than a female he is in a relationship with, are obsolete. Even so, sometimes we need ways to deal with this kind of role reversal.

1

First of all, you must be confident. Your height is something you can do nothing about, and you need to be able to come to terms with that. If you cannot accept yourself the way you are, how can you expect anyone else to? Most of the time, if you are unpreoccupied with something like this, something superficial, your significant other most likely won't be concerned at all.


 


2

Talk about it. In a relationship, one of the most important skills is to be able to communicate with your significant other. Tell her that this is something that you may be sensitive about or even just that you don't want it to become an issue. Most girls won't care.

3

You may need to make a decision about whether to date a girl based on her acceptance of your height. In the long run, and even in the short run, height, as with all other superficial aspects of someone's appearance, is extremely unimportant. Much more important is chemistry and enjoyment and acceptance of each other.

Maintain Your Relationship with Your Girlfriend
 
1

Avoid becoming obsessed. No one likes a stalker. This does not mean not to hang around with her or go places with her a lot. It just means that if it's quite obvious she doesn't want to hang around you, or if she is doing something private (such as a get-together with close friends), then give her some space.




2

Do not hit on people continuously, especially not in front of your girl. She could get the feeling that you don't like her. If you hit on her, make sure you don't do it all the time.



3

Make sure you smell good -- hygiene is important. No one is going to want to hang around with someone who smells bad.



4

Look good. She won't like it if you wear the same thing all the time. Just try to switch it up. You don't constantly have to change outfits. You might even want to joke about how to always wear the same clothes.



5

Be nice to her friends. Don't give the impression you are interested in them beyond friendship. This is a big one. If you become friends with her friends, she will love you for it.



6

Don't try and force anything on her. If you come out straight away and tell her you are interested in her in "that" way, she may become uncomfortable around you. Keep in mind, some people would prefer you to tell them straight up.



7

Don't come on too strong at first. Be casual and cool. You'll know if she wants you to come on stronger. If she is coming on stronger than you are, that generally means you can step it up.



8

Do not say that you are going to kill yourself if she gets mad at you, that may make her think that you are slightly obsessive, and have nothing better to live for than her.



9

Don't try to rush her into anything, you'll only push her away.

10

Don't talk to your friends about other girls. They might tell your girlfriend and she will want to ignore you.



ZAWADI YA USALITI

Posted by Kitalima Gerald On 00:01
ZAWADI YA USALITI
PART 1

                                                                      Gerald kitalima-0717 199561


Janeth, Ni binti mzuri, mrembo mwenye kila aina ya mvuto machoni mwa wanaume wengi, amejawa Na maneno mazuri kinywan mwake yenye kumfaliji kila aliye pata nafasi ya kuongea nae, kutokana Na hali hiii, ilimpa wakati mgumu sanaaaaa Janeth, kwani vijana kwa wazee walihisi kupendwa na Janeth hivyo wengi wao walimuhitaji kimapenzi lakina mungu si hadhumani, hivyo Janeth aliweza kushinda majalibu yaliyo msonga kwa kufuata malengo aliyokwisha jiwekia kwambva hawezi kuingia katika suala la mapenzi na ngono  katika umri mdogo hivyo basi ukomo wa malengo yake ni pale atapofika  Elimu ya chuo kikuu na mungu atapomjalia akapata mchumba aliye mwema;amakweli nimeamini lile unalofikiri ndivyo linavyokuwa kwani malengo ya Janeth yalimfanya afanyejitiada ili  yaweze kamilika  hivyo alifaulu kidato chasita na alichaguliwa kujiunga na chuo kikuu DARES SALAAM UNIVERSITY(Mlimani)huku akitakiwa kusomea masomo ya sheria,kiukweli wazazi ,ndugu najamaa walifurahi kuona jJaneth anatimiza malengo aliyokwisha jiwekea angali bado mdogo,Mzee Masanja hakuwa  na wasi na mwanae kwani aliamini mwanae anajitambua ,anajiheshimu vilevile aliamini mwanae anajilinda kwani haijawahi tokea hata siku moja kwa mzee masanja kupata taarifa zisizo nzuri kuhusiana na Janeth; Pind janeth anasubiri ili aweze kujiunga  chuoni, nikipindi ambacho,mzee masanja alipata pesa za mafao ya uzeeni hivyo basi mambo hayakuwa mabaya kwa upande wa pesa katika familia ya mzee masanja,Baada ya miezi sita kupita Janeth alitakiwa kuwasili chuoni                                                                  

Ilikua siku ya ijumaa pale ndugu; jamaa pamoja na rafki walipokutana nyumbani kwa mzee masanja kwenye tafrija ya kumuaga bintiye Janeth, kwan siku iliyofuata alikua akielekea dar es salaam masomoni, kila mmoja alikua na furaha kwa namna yake japo wenye chuki huwahawakosekani pia vile vile wenye wivu mbaya wakiwemo ni mwiongoni mwao kutokana na mafanikio ya janeth basi bwana shamla shamla za sherehe zilipo kwisha Janeth aliwatakia usiku mwemawazazi wake kisha aliingia chumbani kwake kwa lengo la kuendelea na maandalizi ya safari kuelejea Bongo Dae es salaam,kiukweli usiku mmoja lakini kwa Janeth ulikua ni kama mwaka mzima kwani hakuweza kupata usingizi kwa muda ambao huwa anapata kila siku,usiku huu Janeth alijiuliza mambo mengi ambayo baadhi yalipata majibu lakini yaliyo mengi majibu hayakupatikana jabsa hvyo alisubiri muda yatapomkabili ndipo apambane nayo maana hakuwa na jinsi yakuyakwepa kabsaaa,janeth”Hivi nikifika Dar es salaam sina ndudu,rafki,wala mtu ninayemjua kweli nitakua na amani choni mimi?je kama nikitapeliwa nitafanyaje mimi?nikipata matatizo ugenini nani atakua teyali kunisaidia mm?” kipind Janeth akijiuliza maswali haya ndipo alipo ukalibisha usingizi bila hata kupata majibu ya maswari aliyokuwa akitafakari ,baada ya masaa kama mawili kupita  njozi juu ya malengo aliyokwisha jiwekea zilianza kumtawara binti mrembo,kwani aliota amepata mchumba anaye mjari,anamdhamini,anampenda na ameahidi kumsomesha njee ya nchii pindi atapomaliza masomo yake ya sheria ,kiukweli janeth alifurahi mnoona akamshuru mungu kumuongoza kutimiza ndoto zake na malengo yake ebwaaanaeeee Glafla Janeth anashituka usingizini anajikuta yupo kitandani,Janeth anavuta taswira anagundua kuwa alikua anaota  “Hivi mimi Janeth haya mambo naotaaa au miujizaaaaaaaa?AAAAAHHH alipigwa na butwaa kumbe ndoto ili mfanya asahau safari yake ya kuelekea dares salam hvyo alichukua saa yake ya mkononi kutizama aligundua kuwa ni saa 9 kasolo dakika 12.janeth aliona mapema mno kuanza kujiandaa kwa ajili ya safari hvyo alianza kujiuliza maana ya zile ndoto kama vile yeyen ndoo mnajimu kwakuwa hakuwa na elimu ya utabiri hvyo majibu yake ya ile ndoto yalikuwa ni mengi  kiasi kwamba alishindwa kupata maana halisi ya ndoto ile,jaeth alijipamatumaini pengine ni mpango wa mungu katika safari yake  ya maisha mapya huko aendako,akiwa katika kujiuliza maswari janeth alipitiwa na usigizi hiyvo alilala kwa mara ya pili,baada ya saa 1na nusu njozi mrembo huyo,aliota amechelewa basi stendi hvyo amekosa usafiri  kwa siku hyo na siku inayo fuata hakuna usafili uelekeao dsm alikosa raha kabsa janeth kwani alikua na wasiwasi wa kukosa nafasi chuoni kwani hajui utaratibu wa vyuo vikuu unakuwaje ikiwa katika familia ya mzee masanja yeye ndiye pekee aliyefika elimu ya chuuo kikuu,siku ya tatu basi lilifika asubuhi na mchana likawa linatakiwa kwenda dsm hivyo ndipo alipo anza safari,Glafla Janeth alishtuka usingizini kumbe yupo kitandani na si safarini kiukweli kabsa janeth alikua akilia na kukosa amani na kupoteza matumaini kama mfungwa aliyehukumiwa kunyongwa pale apelekwapo kitanzini,fahamu zilipo mjia janeth aligundua kuwa zile zilkjua ni ndoto tuu hivyo furaha ilitawala moyoni mwake maana usifanye masihala na kufulia ni bora tu usikie kwa jirani mtu wangu
  • About Us

  • About Us