Thursday, 10 February 2011

HUNA SABABU ZA KUACHIKA

Posted by Kitalima Gerald On 23:09
mapenzi furaha banaa
Napenda kuwakalibisha wapenzi wasomaji wa safu hii hapa kuhusiana na mahusiano,kwani tunakuwa tukipeana elimu kwa kulekebishana ,lakini lengo letu kuu ni kuakikisha watu tunadumu na mahusiano yetu vilevile katika ndoa zetu,tukizingatia dunia kwa sasa imekua na mambo mengi yalyo na changamoto ktk maisha yetu kiujumla,jamani mwenzenu najiuliza kila siku kwanini watu wanavunja mahusianoo,ndugu yangu huna sababu za kuachika endapo utafuata haya mambo

ONYESHA KUJIAMINI
Hiki ni kipengele muhimu sana cha kwanza ambacho mwanaume wa aina yeyote anakuwa anavutiwa nacho kwa mwanamke,wanaume wengi wamekuwa wakiwajalibu wapenzi wao kwa namna moja au nyingine hasa katika zama za sasa za uwazi na ukweli,wamekuwa wakiwapa mitihani ya hapa na pale ili kuona kama anaweza kustaimili.
wanaume wengi wanaimani potofu kuwa wanawake huangalia penye pesa japo kwa namna moja au nyingine kuna uhalisia katika hali suala,huamini ni rahisi kwa mwanamke kughaili pindi agunduapo kuwa una uhusiano na mtu mwingne,mitihani hii ni kama vile kukuachia ujumbe mfupi wa kimapenzi katika simu kutoka kwa mwanamke mwingne,mwingne hutaka hata kukuonesha kuwa ana mwamke mwingne ili kukupima unajiamini kiasi gani,
sasa  basi nakushauli mwana da shostiii ambaee upo katika penzi na mtu unaempenda na sii kihisi kumpenda jitahidi kumuonesha na jinsi gani huteterreki na vitu vidogovidogo,jiamini na jifananishe na yule anayefuatwaaa utaona tafauti kubwa katika mapenzi yenuuu.
ikiwa kuna vitu anakuzidi wew zidisha majonjo kwa huyooo umpendae ,kama yeye anaumbile kubwa wewe usijali umbile lake jitume vile uwezavyo mnapokuwa faragha  na pendelea kumpa vijimaneno vya utani kuwa unajiaminii na kile alichofuata mwanzo ndicho unachojivunia nachoo hakika kama alikuwa ameenda kuonja huko nje atarudisha mapenzi yote kwako na kusahau alpo toka,
usioneshe mtu mwenye wivu kupitiliza
weka wivu wako ndani kwa ndani hata kama inaumaaa komaaa ,ikiwa huna kazi ya kufanya siku hyo tafuta kitu kitakacho kufanya uwe busy hakika utabaki katika hali yako ileile
Amini wewe ni mrembo
amini wew ni mrembo na ndiyo maana alikuchagua wewe na sii mtu mwignee,kama yeye alikufuata tena huku akitilia huruma anaitaji kuwa na wew kwa nguvu zake zote basi hakukosea njia hapo ndipo mahali pake,atajifanya anakusaliti lakini tambua hyoo ni tamaa yake tuu kwani kila kitu kizuri kwa moyo wake anakipata kutoka kwako na sii sehemu nyingne baki,najua inauma lakini wewe kuwa mvumilivu kwani itafika mahali yeye atagundua anahangaika ila mambo yote mazuli yako nas wewe,wahenga wanasema mvumilivu hula mbivuuuu,
KUWA MWELEVU!
Mwanaume wa sasa anataka mwanamke aambaye ana uelewa mkubwa wa kufikili na kutafakari mambo na sii mwanamke anaye kulupuka kwa kufanya maamuzi,au katika kufikili jambo mwanaume aliye makini huaanza kuangtali hili suala pale usiano tu unapo anza ,akisha gundua kuwa ulewa wako ni mdogo hata weza kudumu nawe kwani atatafuta sababu ili tu kuvunja uhusiano kwani anaona utampa shida mbeleni,na hili nlimewakuta wengi mtu anaanza kusema kuwa flani amebadilika ,ukiona hivi jua lazima kuna tatzo huenda umekua na uwezo mdogo wa kutaza mambo ,au unamshauri vitu ambavyo hakutegemea kuvisikia kutoka kwako tena bora viwe vya muhimu hapo mtaernda sawa 
USIMTEGEMEE SANA!
Kama mwanamke usimtegemee mwanaume katika kipato moja kwa moja kwani kwa kufanya hvyo utakua mzigo kwake hvyo kwa namna moja utakuchoka kwa haraka sana,wanaume wa sasa wanataka wanawake ambao  watasaidiana kuendesha gurundumu la maendeleo,ili kupunguza ukali wa maisha ikitokea unataka kumtegemea kwa kila kitu unaongeza ukali wa maisha kwake,hvyo atashindwa kuendelea na wewe. 
Mwache mwanaume wako atafute pesa za kujenga maisha yenu wewe pamoja na watoto baadea na si kutafuta pesa za kuku honga wewe ,jua atakubali kukuhonga kwa kuwa anakupenda  na hapendi kukupoteza sasa jiulize akipata mtu akimuonesha mapenzi zaidi tena bila hata kuhongwaa werwe utakua wapi?
       

Kindly Share This Post to sustain Mpitanjia News Blog »»

Categories:

0 comments:

Post a Comment

  • About Us

  • About Us